Timu ya Uongozi

Mchungaji Francis Joshua

Mchungaji Francis Joshua Mwakilulele

Mchungaji Kiongozi

Aliyeitwa na Mungu kuongoza kanisa kwa hekima na neno la msalaba.

Mchungaji Sarafina Joshua

Mchungaji Sarafina Joshua Francis

Mchungaji Mwenza

Mchungaji mwenye upendo na huruma, anayejitoa kwa wanawake na familia.

PCGT GOSHEN

Kanisa Letu

PCGT — Gosheni Mahali Salama ilianzishwa chini ya uongozi wa Mchungaji Francis Joshua Mwakilulele, aliyeitwa na Mungu kuleta uamsho na neno la msalaba kwa watu wa Dar es Salaam na Tanzania nzima. Kanisa linapatikana Darajani, Kigamboni, ambako linahudumia jamii kwa bidii na upendo.

Tangu kuanzishwa kwake, kanisa limekuwa kimbilio la wengi wanaotafuta uponyaji, ukombozi, na uhusiano wa karibu na Mungu. Tunashikilia sana fundisho la neno la msalaba kama nguvu ya Mungu kwa wokovu.

Church History
Wasiliana nasi